DSpace Repository

Mwingiliano wa Kisimulizi katika Tenzi za 'Fumo Liyongo' (UFL), 'Gilgamesh' (UG), 'Mikidadi na Mayasa' (UMM) pamoja na 'Simulizi ya Samsoni' (SS)

Show simple item record

dc.contributor.author Obuchi, Samuel M.
dc.contributor.author Kiprotich, Priscah J.
dc.contributor.author Mwanakombo, Mohamed
dc.date.accessioned 2023-11-08T05:49:40Z
dc.date.available 2023-11-08T05:49:40Z
dc.date.issued 2021
dc.identifier.uri https://journals.mu.ac.ke/index.php/mwl/article/view/199
dc.identifier.uri http://ir.mu.ac.ke:8080/jspui/handle/123456789/8310
dc.description.abstract Makala haya yanajadili suala la mwingilianomatini katika tendi teule na matini ya kidini. Mabadiliko katika jamii yanayoletwa na teknolojia ya kisasa yamesababisha baadhi ya kazi za kijadi kama vile tenzi, kusahaulika. Tenzi ni hifadhi muhimu ya historia ya jamii, hivyo zinafaa kuhifadhiwa kwa kufanyiwa utafiti zaidi ili ziendelee kuwa na manufaa katika jamii. Kutokana na udurusu wa maandishi uliofanywa na watafiti, ilidhihirika kwamba tenzi za Fumo Liyongo (UFL), Gilgamesh (UG), Mikidadi na Mayasa (UMM) pamoja na Simulizi ya Samsoni (SS) zinawasilisha visa mbalimbali kwa njia ya usimulizi. Matini hizi teule zina mwangwi fulani unaohisika kisimulizi. Makala haya yamezingatia Biblia kama matini muhimu ambayo ina wingi wa kazi za kifasihi zinazohitaji kuhakikiwa, mojawapo ikiwa Simulizi ya Samsoni. Makala haya yamejadili mbinu za kisanii zilizotumika kisimulizi ili kuwasilisha ujumbe uliokusudiwa. en_US
dc.language.iso other en_US
dc.publisher Mwanga wa Lugha en_US
dc.subject Mwingilianomatini en_US
dc.subject Usimulizi en_US
dc.title Mwingiliano wa Kisimulizi katika Tenzi za 'Fumo Liyongo' (UFL), 'Gilgamesh' (UG), 'Mikidadi na Mayasa' (UMM) pamoja na 'Simulizi ya Samsoni' (SS) en_US
dc.type Article en_US


Files in this item

Files Size Format View

There are no files associated with this item.

This item appears in the following Collection(s)

Show simple item record

Search DSpace


Advanced Search

Browse

My Account