Abstract:
Makala haya yalichunguza na kubainisha mielekeo ya walimu wa kiswahili katika shule ya msingi za kaunti ya Siaya. Aidha, ruwaza zao za matumizi ya lugha zilipambanuliwa. Data ilikusanywa kwa kutumia hojaji. Wasailiwa 34 waliteuliwa kutoka kaunti sita za Siaya.