Moi University Open Access Repository

Ufemerali katika Nyimbo za muziki wa Bongofleva nchini Tanzania: Mifano kutoka Nyimbo Teule

Show simple item record

dc.contributor.author Yesava, Steven
dc.date.accessioned 2020-12-08T10:10:01Z
dc.date.available 2020-12-08T10:10:01Z
dc.date.issued 2019
dc.identifier.uri http://ir.mu.ac.ke:8080/jspui/handle/123456789/3782
dc.description.abstract Makala haya yamechunguza ufemerali katika nyimbo za muziki wa Bongofleva nchini Tanzania, mifano kutoka katika nyimbo teule za wasanii wa muziki huu ambao nyimbo zao zimeonekana kuwa ufemerali. Istilahi ufemerali iliyotumika katika makala ya imetoholewa kutoka lugha ya kiingereza katika neno" Ephemeal" likimaanisha hali ya kitu kupendwa sana, kuvuna na baada ya muda mfupi kitu hicho kuchuja na kupoteza mvuto au umaarufu wake. en_US
dc.language.iso en en_US
dc.publisher Moi University Press en_US
dc.subject Ufemerali en_US
dc.subject Nyimbo en_US
dc.subject Bongofleva en_US
dc.title Ufemerali katika Nyimbo za muziki wa Bongofleva nchini Tanzania: Mifano kutoka Nyimbo Teule en_US
dc.type Article en_US


Files in this item

This item appears in the following Collection(s)

Show simple item record

Search DSpace


Advanced Search

Browse

My Account