Nicholaus Kyamba Anna
(Moi University, 2018)
Ushairi wa Kiswahili una historia ndefu kutokana na dhima yake katika jamii. Ukweli
ni kuwa historia hiyo inatokana na watunzi ambao wamechangia maendeleo ya utanzu
huu wa kifasihi. Wapo washairi wengi wa Kiswahili ...