Binyanya, Ruth M.; Mukhwana, Ayub; Obuchi, Samuel M.
(Mwangaa wa Lugha, 2020)
Makala haya yanachunguza athari za ulumbilugha katika kutimiza nia za wakati husika za Chokoraa. Chokoraahutumia lugha mbalimbali katika mawasiliano yao. Uteuzi wa lugha itakayotumiwa na Chokoraa hutegemea muktadha maalum. ...