Agume, Innocent
(Moi University, 2022)
Kiswahili ni lugha ya Kibantu inayozungumzwa Afrika Mashariki. Hutafitiwa na
hufundishwa katika nchi mbalimbali barani Afrika na nje. Itifaki ya Muungano wa
Jumuiya ya Afrika Mashariki, inatambua Kiswahili kama lugha ya ...